Tuesday, May 28, 2013

ADAM MCHOMVU AJIBU KUHUSU KUMCHAFUA JIDE FB

Mtangazaji wa Clouds FM, Adam Mchomvu amejikuta kwenye wakati mgumu baada leo akaunti yake ya Facebook kuonesha imepost link yenye kichwa cha habari ‘Picha za uchi alizopiga Lady Jay D bofya hapa’. Kutokana na post hiyo, Adam amejikuta akitukanwa matusi mengi ya nguoni kitendo kilichomlazimu aombe radhi japo anadai hakuandika yeye.
adam
“Naomba kuchukua nafasi hii kuomba radhi kwa yeyote aliyekwazika kwa maneno machafu yaliyoandikwa kwa wall yangu, na pia naomba nieleweke kwamba sihusiki na chochote kupost au kuandika chochote kuhusu kikwete foundation na picha za jdee ukiwa naked, sina ugomvi na yeyote naheshimu hisia za kila mtu nikiamini kila mtu ana maamuzi yake.. Aliyeamua kutumia jina langu kufanya hayo najua sasa unajiskia vizuri baada ya matusi mengi niliyotukanwa.. Maisha hayaishii hapa siku zinaenda na ukwali utafahamika siku moja … Mchana mwema.”
“Mi namuachia Mungu … Ya duniani yatalipwa hapa hapa, anayetengeneza mazingira haya kunichafua ni baraka zinaongezeka .. I keep on moving sirusishwi nyuma na kauli zenu zilizojaa chuki, dharau maisha Yanaendelea.
Kiukweli napata lawama nyingi matusi mengi bila kujua kosa langu.. Account yangu ni hii sina nyingine na sijui nn kimeendelea huko, kiroho safi tu naomba mtu aniambie kuna nini wapi nijue ivi mtanilaumu bure tu.. No hard feelings.”

WAREMBO MNAOPENDA LIPSTIKI SOMENI HII

Wanawake hupenda kuonekana nadhifu siku zote na katika kufanya hivyo wanatumia vitu mbalimbali vikiwamo rangi za aina mbalimbali ambazo baadhi yake hupakwa katika miili yao ikiwamo midomo.




Rangi na mafuta ya midomo ambayo hutumiwa zaidi na wanawake yanaelezwa kuwa na sumu ambayo huweza kusababisha saratani ya mapafu, kushindwa kwa figo kufanya kazi na hata maumivu ya tumbo.

Utafiti uliochapishwa  Januari mwaka huu na Jarida la Sayansi ya Mazingira nchini Uingereza (JES) umebaini kuwa  matumizi ya muda mrefu ya rangi za midomo na ‘lipglosses’ yanaweza kusababisha maradhi kadhaa kutokana na kuwa na kiwango cha madini ya aluminiam, cadmium na risasi (lead).


Kemikali zinazopatikana zaidi katika rangi za midomo zinatajwa kuwa ni cadmium, chromium, titanium, lead na manganizi.




Ingawa bidhaa hasa zenye wingi wa madini hayo hazijawekwa wazi,wanasayansi hao wanasema kuwa ni zile zinazotumiwa au kupendwa zaidi na kinamama.


Imebainika kuwa kupaka ‘lipshine’ au ‘lipstick’ mara tatu na zaidi kwa siku kunaweza kusababisha maradhi hayo na ilishauriwa kuwa matumizi yake yasiwe ya muda mrefu.

Mkuu wa utafiti huu, Katharine Hammond, mwanasayansi wa mazingira na afya katika Chuo Kikuu cha California, Marekani   anasema nia ya utafiti huo ni kutaka kupima kiwango cha madini hayo ambacho mtumiaji wa lipstiki huweza kukimeza na kiwango kinachokubalika.


“Kiafya,  mtumiaji hatakiwi kunywa au kumeza zaidi ya asilimia 20 ya metali za lead au cadmonium hata katika maji tu ya kunywa,” anasema Hammond

Utafiti wa Hammond unaeleza kuwa bidhaa hizo zina kiwango kikubwa cha aluminium, cadmium, chromium na manganizi kilichozidi asilimia 20.


Hali ikoje nchini

Afisa Uhusiano wa Mamlaka ya Chakula na Madawa(TFDA) Gaudensia Simwanza anasema  madini ya Lead na Titanium yapo kwenye orodha ya mchanganyiko uliozuiwa.

“Lakini madini ya titanium dioxide ndiyo yanaruhusiwa na siyo titanium zote” anasema Simwanza


Anasema madini ya ‘Lead Acetate’ yasiyozidi asilimia 0.6 yanaruhusiwa katika rangi za nywele tu(Hair Dye).


“ Madini haya ni moja ya sehemu ya vipodozi ndiyo  imeangaliwa na kuelekeza kuwa si salama katika matumizi ya lipstiki:” anasema Simwanza

Daktari katika kitengo cha uchunguzi wa magonjwa cha Hospitali ya Taifa Muhimbili, Innocent Mosha anasema kwa kawaida madini ya Lead yanaathiri figo kwa kiasi kikubwa.


Mosha anasema kiasi kidogo tu cha madini hayo kikimezwa kwa muda mrefu, mtumiaji huana kuona dalili zisizo za kawaida katika mwili.


“Sijawahi kusikia utafiti wa hapa nchini uliowahi kuchunguza lipstiki au lipgloss, lakini kama ni kweli vipodozi hivyo vina madini hayo, badi ni ya hatari,” anasema Dk Mosha.

Wataalamu wa afya wanasema kuwa matumizi ya kudumu   ya Cadmium midomoni  yana uhusiano wa karibu na  uharibifu wa figo na mifupa.

Watafiti hao walisema mwanamke anapopaka urembo huo, madini yaliyotumika kuutengeneza huingia tumboni kidogokidogo na baada ya muda husababisha maradhi hayo.


Elizabeth Salter Green, Mkurugenzi wa Kampeni ya Bidhaa za Kemikali anasema kuna haja ya kuwa waangalifu katika matumizi ya kemikali zilizopo katika vipodozi hasa kwa wasichana wadogo ambao wapo katika umri wa kuzaa.

Anaongeza: “Lazima wasiwasi uwekwe. Vipimo na tafiti zaidi zifanyike katika vipodozi vyenye kemikali na athari zake’

Watafiti pia walibaini kuwepo kwa  kemikali ya lead kwa asilimia 75 ya bidhaa  za midomo. Nusu ya sampuli hizo ilionyesha kuwa lipstiki na ‘lipglosses’ zilikuwa na kemikali ya lead kwa kiwango kikubwa kuliko kile kinachokubaliwa na mamlaka ya chakula na madawa.

Utafiti mwingine ulibaini kuwa mwanamke mrembo ambaye hupaka lipstiki mara 3 kwa siku na kila mpako mmoja hubeba miligramu 10 za madini hayo,  huyo yupo hatarini.

Ilielezwa kuwa kiasi chote hicho humezwa kwa siku moja kila mwanamke anapopaka lipstiki.


Dk Kenneth Spaeth, Mkurugenzi wa Tiba ya Mazingira katika Hospitali ya North Shore, Manhasset anasema  kuwepo kwa madini ya ‘lead’ katika vipodozi kunaweza kuathiri ujauzito au watoto ambao wanachezea vipodozi vya mama zao.

Mwaka 2007, Kampeni ya Vipodozi Salama ya nchini Marekani iligundua madini ya lead kwa asilimia 61 katika vipodozi 33 vya lipstiki.

Mtaalamu wa masuala ya ngozi, Dk Isaack Maro anasema madini ya cadmonium yapo hata katika udongo na baadhi ya vyakula.

Anasema matumizi ya muda mrefu ya madini hayo huweza kusababisha maradhi.

“Cadmonium ni metali nzito ambazo si rahisi kuchujwa katika figo, zikikaa kwa muda mrefu katika figo, huweza kuziathiri” anasema Dk Maro.


Anasema hana uhakika iwapo madini ya lead yapo katika lipstiki kwani ni madini ya hatari sana kiafya.

“Miaka ya nyuma iliwahi kupigwa marufuku kutumika kutengenezea mabomba baada ya kubainika kuwa ni ya hatari” anasema

Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira (UNEP) linasema kuwa Lead ni metali za hali ya juu zenye sumu ambayo huweza kumuathiri binadamu kwa kuikaribia kidogo.

Madini ya lead yanatajwa kuwa na sumu inayoweza kusababisha matatizo ya neva za fahamu, moyo, renal, tumbo na mfumo wa uzazi.

UNEP inaeleza kuwa madini ya cadmium pia yana sumu ambayo inaweza kuathiri figo na mfumo wa mifupa.

Linda Loretz, mtaalamu wa kubaini vimelea vya sumu wa Baraza la Bidhaa za Vipodozi (PPC) alifanya utafiti pia na kusema kuwa hakuna ubishi kuwa liptiki na lipgloss zote humezwa.

Utafiti ulifanyika kwa wanawake 360 nchini Marekani ambao wanatumia lipstiki na ambao huipaka kwa mara mbili na zaidi.


“Kwa nini baada ya muda  lipstiki inafutika mdomoni . Inakwenda wapi? Unafikiri inayeyuka?” anahoji  Mtaalam huyo (Dk Loretz)

Lipstiki zinatengenezwa kwa kutumia nini?

Mtandao wa Wikipedia unaeleza kuwa lipstiki inatengenezwa kwa kutumia ming’aro mbalimbali au waxi. Waxi yenye nguvu ijulikanayo kama Carnauba Wax inatumika kuifanya lipstiki iwe ngumu na isimegukemeguke.

Pia mafuta mbalimbali nayo hutumika kama mafuta ya karafuu, madini, cocoa,  lanolini na petroli.
Mtandao wa Wikipedia unaeleza kuwa asilimia 50 ya lipstiki zinazotengenezwa  marekani zinatumia  mafuta ya nguruwe au castor ambayo huipa mng’aro zaidi.

HIZI NDIO PICHA ZA UTUPU ZA WASANII WA ZE KOMEDI

PICHA ZA NUSU UCHI ZA KUNDI LA  ZE KOMEDI

Picha za aibu  zinazowaonesha wasanii wa kundi la Ze Komedi wakiwa kwenye fukwe moja ya huko Kigamboni zimezua balaa kubwa ......
 Happy  kabla  hajavua  nguo.... 
==

Mtandao  huu  umefanikiwa  kuzipata  picha  hizi  kutoka  kwa  msomaji  wetu  mpendwa  ambaye  kwa  uzalendo  wake  ametutumia  kwa  njia  ya  email  huku  akielezea  kwa  kifupi  kuhusu  sakata  hilo  la  aibu.....

 
Happy akichezewa matiti na master Face huku akichekelea
Huyu  ni  Happy na Master  Face  wakifanya  Uchafu wao....Hapa  wanatomasana  kabla ya uzalendo kuwashinda  na  kuamua  kuvunja  amri  ya  sita...
Vipi  baby....umezidiwa.....!!!! Aibu tupu 
==
Mdau  huyo  anaripoti  kwamba, kundi  hilo  liliingia  ndani  ya  ufukwe  wa  Chadibwa  na  kuanza  kufanya  mambo  ya  aibu  mbele  ya  watu..... 
Wasanii  walioongoza  kwa  mambo  ya  aibu  ni  mdada  mmoja  aliyejulikana  kwa  jina  la HAPPY  ambaye  ni  mrembo  aliyejigeuza  mbwa  na  kukubali  kushikwashikwa  ovyo  matiti  yake  na  viungo  vingine  "sensitive"  bila  kujali  watu.....

 Matiti  bado  yanaendelea  kuteswa
Kiwewe  naye  alikuwa  kivyake  na  wakwake.....
  Mbali  na  Happy, kulikuwa  na Msanii KIWEWE ambaye  yeye  alikuwa  akijimilikisha  VIUNO  vya mabinti  hao  bila  aibu..... 
 Achilia  mbali Kiwewe, alikuwepo  pia  MANAIKI SANGA  ambaye  naye  alikuwa  akikumbatia  watatu  watatu....Cha  ajabu  ni  kwamba, yeye  alikuwa  kavaaa, akina  dada  walikuwa  uchi.....
 Aliyetia  aibu  ya  mwaka  ni MASTER FACE ambaye  kwa  mujibu  wa  mdau  alitutumia  picha  hizi  ni  kwamba  yeye  na HAPPY  walifikia  hadi  hatua  ya kuvunja  amri  ya  sita  nyuma  ya  gari.....!!!!

INAWEZEKANA HIYO NDIO SABABU YA KIFO CHA NGWEAR


 
 
ripoti kamili
Taarifa Nilizo Pata Kutoka South
Africa Kutoka Kwa Hussein
Original Ambaye Yupo Pretoria
Amesema Ngwear Amefariki Leo

Asubuhi. Alikuwa Ghetto Moja Na
Msanii M To The P.
Walivyokwenda Kuwagongea
Asubuhi Walikuta Ngwear
Amefariki Na M To The P
Amepoteza Fahamu Kabisa. Pia
Daktari Ameshatoa Taarifa Kwa
Watu Wa Karibu Wa Ngwear
Huko South Africa. Ngwea akiwa na msanii M to the P jana south africa.mtu wa karibu anasema walitakiwa kurudi dar leo lakini waliwakuta wamezima kwenye room wote wawili baada ya kuji overdose madawa ya kulevya na M to the P yupo hoi hospitali.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Saturday, May 4, 2013

HIZI NDIO NCHI 20 MASKINI ZAIDI DUNIANI

 

20 Poorest Countries In The World

What are the poorest countries in the world? The rankings below were published in Wikipedia from International Monetary Fund’s 2011 gross domestic product per capita (GDP per capita) report and reflecting the countries with the lowest purchasing power parity (PPP). Since 1970, there has been encouraging news emerging from developing countries. According to the UN’s 2010 Human Development Report, life expectancy in developing countries has increased from 59 years in 1970 to 70 years in 2010. School enrollment climbed from 55% to 70% of all primary and secondary school-age children. Also, in the last forty years, per capita GDP doubled to more than ten thousand U.S. dollars. Poor countries are catching up with the wealthier countries, but not all countries are making fast progress. For example, some countries in Sub-Sahara Africa have little or no progress, largely due to the HIV epidemic and civil wars.

The 20 Poorest Countries:

#1. Congo, Democratic Republic of the

GDP Per Capita: $348 (As of 2011)

Not to be mixed with the neighboring Republic of Congo, the Democratic Republic of the Congo has become the poorest country in the world as of 2010. Democratic Republic of the Congo was known as Zaire until 1997. Congo is the largest country in the world that has French as an official language – the population of D.R Congo is about six million larger than the population of France (71 million people in D.R Congo vs 65 million in France). The Second Congo War beginning in 1998 has devastated the country. The war that involves at least 7 foreign armies is the deadliest conflict in the world since World War II – by 2008 the Second Congo War and its aftermath had killed 5.4 million people.

#2. Liberia

GDP Per Capita: $456 (As of 2011)

Liberia is one of the few countries in Africa that have not been colonized by Europe. Instead, Liberia was founded and colonized by freed slaves from America. These slaves made up the elite of the country and they established a government that closely resembled that of the United States of America. In 1980 the president of Liberia was overthrown and a period of instability and civil war followed. After the killings of hundreds of thousands, a 2003 peace deal was led to democratic elections in 2005. Today, Liberia is recovering from the lingering effects of the civil war and related economic dislocation, with about 85% of the population lives below $1 a day.

#3. Zimbabwe

GDP Per Capita: $487 (As of 2011)

The government of Zimbabwe released its largest bank note 100 trillion dollar bill issued on January 2009. In addition to the economic problems the life expectancy of Zimbabwe is the lowest in the world – 37 years for men and just 34 for women. One of the problems for the early deaths are the 20.1% of the population with HIV and AIDS. The health issues aren’t seeing any improvement.

#4. Burundi

GDP Per Capita: $615 (As of 2011)

Burundi is known for its tribal and civil wars.  Burundi have never really had any peaceful time between the everlasting civil wars as a result its the fourth poorest country. Owing in part to its landlocked geography, poor legal system, lack of economic freedom, lack of access to education, and the proliferation of HIV and AIDS.  Approximately 80% of Burundians live in poverty and according to the World Food Programme 57% of children under 5 years suffer from chronic malnutrition; 93% of Burundi’s exports revenues come from selling coffee.

#5. Eritrea

GDP Per Capita: $735 (As of 2011)

Affected by the Italian colonizers of the 19th century.  Eritrea’s advantage of controlling the sea route through the Suez Canal made the italians to colonized it just a year after the opening of the canal in 1869 and same reason the British conquered it in 1941.  The present Eritrea’s economic conditions have not improved and real gross domestic product growth averaged 1.2 percent between 2005 and 2008; in 2009 GDP growth was estimated at 2.0 percent.

#6. Central African Republic

GDP Per Capita: $768 (As of 2011)

Despite its significant mineral resources; uranium reserves in Bakouma, crude oil, gold, diamonds, lumber, hydropower  and its arable land, it remains one of the poorest countries in the world.  Diamonds constitute the most important export of the Central Africans Republic, accounting for 40–55% of export revenues. The 2010 UNDP Human Development Report ranks CAR near the bottom of its Human Development Index (159th out of 162 countries) and unlikely to meet its MDG goals. The proportion of Central Africans living on $1 a day has decreased slightly to 62%  but it needs to be half of that in order to reach the 2015 goal.

#7. Niger

GDP Per Capita: $771 (As of 2011)

With over 80% of its land is covered by the giant desert of Sahara, Niger has a Gross Domestic Product (GDP) per capita in Parity Purchasing Power (PPP) terms of US$771 as of 2011, one of the lowest in Africa. Niger’s poverty is exacerbated by political instability, extreme vulnerability to exogenous shocks and inequality which affects girls, women and children disproportionately. In January 2000, Niger’s newly elected government inherited serious financial and economic problems including a virtually empty treasury and was qualified for enhanced debt relief under the International Monetary Fund program for Highly Indebted Poor Countries.

#8. Sierra Leone

GDP Per Capita: $849 (As of 2011)

A West African country with English as its official language, Sierra Leone has relied on mining, especially diamonds, for its economic base and home to the third largest natural harbour in the world where shipping from all over the globe berth at Freetown’s famous Queen Elizabeth II Quay.  It is among the top diamond producing nations in the world, and mineral exports remain the main foreign currency earner and also among the largest producers of titanium and bauxite, and a major producer of gold. Despite this natural wealth, 70% of its people live in poverty. If you have seen the movie Blood Diamond you should know that it is based on Sierra Leone.

#9. Malawi

GDP Per Capita: $860 (As of 2011)

Malawi has one of the lowest per capita incomes in the world, with 53% (2004) living under the poverty line. In December 2000, the IMF stopped aid disbursements due to corruption concerns, and many individual donors followed suit, resulting in an almost 80% drop in Malawi’s development budget. In 2006, Malawi was approved for relief under the Heavily Indebted Poor Countries (HIPC) program. In December 2007, the US granted Malawi eligibility status to receive financial support within the Millennium Challenge Corporation (MCC) initiative. Agriculture accounts for 35% of GDP, industry for 19% and services for the remaining 46%.  In addition, some setbacks have been experienced, and Malawi has lost some of its ability to pay for imports due to a general shortage of foreign exchange, as investment fell 23% in 2009.

#10. Togo

GDP Per Capita: $899 (As of 2011)

This small, sub-Saharan economy suffers from anemic economic growth and depends heavily on both commercial and subsistence agriculture, which provides employment for a significant share of the labor force. Cocoa, coffee, and cotton generate about 40% of export earnings with cotton being the most important cash crop. Togo is among the world’s largest producers of phosphate. Approximately one half of the population lives below the international poverty line of US$1.25 a day.

#11. Madagascar

GDP Per Capita: $934 (As of 2011)

Madagascar’s mainstay of growth are tourism, agriculture and the extractive industries. Approximately 69% of the population lives below the national poverty line threshold of one dollar per day. The agriculture sector constituted 29% of Malagasy GDP in 2011, while manufacturing formed 15% of GDP. Tourism dropped more than 50% in 2009 compared with the previous year, and many investors are wary of entering the uncertain investment environment.

#12. Afghanistan

GDP Per Capita: $956 (As of 2011)

Afghanistan is probably the only poorest country in the world that doesn’t need any introduction. Due to the decades of war and nearly complete lack of foreign investment, the nation’sGDP per capita stands at $956. Its unemployment rate is 35% and 42 % of the population live on less than $1 a day.  As tribal warfare and internecine feuding has been one of their chief occupations since time immemorial. History has never seen Afghanistan lose a war. They might be one of the poorest but they know how to fight. Instead of a traditional army they simply resist with small counter attacks that eventually tire out the enemy.

#13. Guinea

GDP Per Capita: $1,083 (As of 2011)

Guinea also has diamonds, gold, and other metals. The country has great potential for hydroelectric power. Bauxite and alumina are currently the only major exports. Guinea’s poorly developed infrastructure and rampant corruption continue to present obstacles to large-scale investment projects. Agriculture employs 80% of the nation’s labor force. Under French rule, and at the beginning of independence, Guinea was a major exporter of bananas, pineapples, coffee, peanuts, and palm oil. From independence until the presidential election of 2010, Guinea was governed by a number of autocratic rulers, which has contributed to making Guinea one of the poorest countries in the world.

#14. Mozambique
GDP Per Capita: $1,085 (As of 2011)

One of the poorest and most underdeveloped country in the world, 75% of the population engages in small-scale agriculture, which still suffers from inadequate infrastructure, commercial networks, and investment. The minimum legal salary is around US$60 per month.

#15. Ethiopia

GDP Per Capita: $ 1,093 (As of 2011)

Ethiopia suffers from poverty, and poor sanitation.  In the capital city of Addis Ababa, 55% of the population lives in slums. Despite its fast growth in recent years, GDP per capita is one of the lowest in the world, and the economy faces a number of serious structural problems. Ethiopia’s economy is based on agriculture, which accounts for 41% of GDP and 85% of total employment. Agricultural productivity remains low, the sector suffers from poor cultivation practices and frequent drought.

#16. Mali

GDP Per Capita: $1,128 (As of 2011)

With 50% of the population living below the international poverty line of US$1.25 a day, Mali is one of the poorest countries in the world.  Some of its natural resources are gold, uranium, livestock, and salt. Mali remains dependent on foreign aid. Economic activity is largely confined to the riverine area irrigated by the Niger River and about 65% of its land area is desert or semidesert. Mali experienced economic growth of about 5% per year between 1996-2010. The government in 2011 completed an IMF extended credit facility program that has helped the economy grow, diversify, and attract foreign investment.

#17. Guinea-Bissau

GDP Per Capita: $1,144 (As of 2011)

Guinea-Bissau’s legal economy depends mainly on farming and fishing, but trafficking in narcotics is probably the most lucrative trade. With 60% of the population living below the poverty line, drug traffickers based in Latin America use Guinea-Bissau, along with several neighboring West African nations, as a transshipment point to Europe for cocaine. The government and the military did almost nothing to stop this business.

#18. Comoros


GDP Per Capita: $ 1,232 (As of 2011)

Made up of three islands with rapidly increasing population, and few natural resources. As of 2008 about 50% of the population lives below the international poverty line of US$1.25 a day, due to numerous coups d’etat since independence in 1975.

#19. Haiti

GDP Per Capita: $1,235 (As of 2011)

Haiti is a free market economy that enjoys the advantages of low labor costs and tariff-free access to the US for many of its exports. Poverty, corruption, and poor access to education for much of the population are among Haiti’s most serious disadvantages. Haiti’s economy suffered a severe setback in January 2010 when a 7.0 magnitude earthquake destroyed much of its capital city, Port-au-Prince, and neighboring areas. Already the poorest country in the Western Hemisphere with 80% of the population living under the poverty line and 54% in abject poverty, the earthquake inflicted $7.8 billion in damages.  Seven out of ten Haitians live on less than US$2 a day, according to the International Red Cross.

#20. Uganda

GDP Per Capita: $1,317 (As of 2011)

Uganda is one of the poorest nations in the world, with 37.7 percent of the population living on less than $1.25 a day. Uganda has substantial natural resources, including fertile soils, regular rainfall, small deposits of copper, gold, and other minerals, and recently discovered oil. Despite making enormous progress in reducing the countrywide poverty incidence from 56 percent of the population in 1992 to 31 per cent in 2005, poverty remains deep-rooted in the country’s rural areas, which are home to more than 85 per cent of Ugandans.